17 October 2012

KAGERA YAGOMA TAIFA YAREJESHA KAMA SINEMA

Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Kagera Sugar, Benjamin Effe katika mchezo wa leo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zimetoka sare ya 2-2.
http://bongostaz.blogspot.com,PICHA

Polisi moro 0-2JKT RUVU 
COAST UNION 0 -2TOTO AFRICAN 
OLJORO JKT 0 -0 AFRICAN LYON
Azam 0-0Prison 

No comments:

Post a Comment