24 January 2013

KIKWETE SOKA INAWEZA KUCHANGIA AMANI


Kikwete: Football can contribute to peace
Rais wa jamhuri ya muungano wa  Tanzania, Jakaya Kikwete,ametembelea makao makuu ya shirikisho la soka la kimaitafa FIFA jana  23 January,akichukua muda wake kwa kukutana na rais wa shilikisho hilo na kujadiliana mambo kadhaa na Rais wa FIFA  Joseph S. Blatter.

“ Nina mshukuru Rais  Blatter kwa kunialika kutembelea makao makuu ya FIFA ambapo ndipo nyumbani kwa mchezo tunaoupenda zaidi
. "  huku akimwagia sifa kwa jitihada alizo fanya katika kuinua soka hasa katika ukanda wa afrika mashariki na kumwambia tangu aingie madarakani amemsaidia kufanya maendeleo makubwa

Hasa kwa  Tanzania
, ambayo ni muunganiko wa  nchi mbili awali Tanganyika na Zanzibar Zilizo ungana january  26 April 1964, ambapo zimepakana na Uganda na  Kenya Kaskazini , Burundi, Rwanda na  Congo DR Magharibi , Zambia na  Malawi kusini mashariki ,na  Mozambique upande  kusini .

"
I’m especially appreciative of the interest that President Blatter has shown in Africa. It’s really due to his efforts that we now send five teams to the World Cup, and that the last tournament, in 2010, took place on African soil.
Jakaya Kikwete, the President of Tanzania

No comments:

Post a Comment