Kituoa cha Runinga cha michezo cha BeIN , ambao ndio wamiliki wa kampuni ya michezo ya Qatar –Ambacho ndicho kinachomiliki timu ya PSG – kimetangaza kuwa Carlo Ancelotti anaachana na klabu hiyo Mapema leo hii , Ancelotti alikutana na Rais wa PSG na Mkurugnzi wa soka , Nasser Al-Khelaifi na Leonardo ,Kushughulikia mustakabari wa kocha huyo,na Makubaliano yameshafanyika na mtaliano huyo anaondoka klabuni hapo na anatarajia kusaini na klabu nyingine ..
No comments:
Post a Comment