Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea sehemu ya
vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh. Milioni 35, kwa ajili ya vijana
wa Haraiki ya Mbio za Mwenge utakaowashwa Visiwani Pemba Mei 6, mwaka
huu, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa Benki ya NMB,
Domina Feruzi, wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisini kwa
Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Mei 2, 2013. Kushoto ni Meneja
wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa benki hiyo, Elieza Msuya.
No comments:
Post a Comment