Taarifa kutoka katika kiwanja cha Emirates Stadium ambao ndio kiwanja kinachomilikiwa na klabu ya arsenal zinasema kuwa wameshakubalina na mchezaji huyo na sasa wanafanya makubaliano binafsi .
-
Arsenal juma hili itakamilisha jambo ambalo mashabiki wa arsenal wamekuwa wakilisubiri kwa hamu kubwa la kumsainisha mshambuliaji wa Fiorentina Stevan Jovetic.Taarifa za kuthibitika zinasema washika bunduki hao wamekwisha fika makubaliano ya kununua mchezaji huyo
Mwenye miaka 23 raia wa Montenegro .
Timu hiyo yenye maskani yake Kaskazini mwa London italipa kiasi cha yuro €29m au pauni (£24m) kwa ajiri ya kijana huyo mwenye kipaji cha hari ya juu Jovetic ametia sain i miaka miine na atakuwa akipokea ujira wa pauni laki moja kwa juma .
No comments:
Post a Comment