Shirikisho la soka la tanzania TFF ambalo ndilo litakalo kuwa mwenyeji kati ya mechi ya tanzania dhidi ya uganda Tarehe 23 mwezi june kabla ya kurudiana baada ya wiki mbili kuwania kufuzu michuano ya kombe la chan ambayo huhusisha wachezaji wanaocheza soka ndani ya nchi ,wakati huo tanzania itakuwa inashiriki michuano ya COSAFA dhidi ya mauritius katika mechi ya ufunguzi ambapo timu kumi na nne zitashiriki mashindano yatafanyika katika miji ya Lusaka, Ndola, Kabwe na Kitwe huko Zambia.
Katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania TFF Angetile Osiah amesema kupitia mtandao wa star africa kuwa aamini kama ndugu zao wa uganda wanaweza kukataa kubadili ratiba japokuwa bado hawajapata jibu kutoka fufa ili kubadili Tarehe.
Kenya na Tanzania, ni nchi zinazotoka katika ukanda wa cecafa ambazo zimealikwa katika michuano hiyo ambapo zitakuwa pamoja na Swaziland, Namibia, Botswana, Lesotho, Mauritius na Seychelles Zambia, South Africa, Angola,
Zimbabwe, Mozambique na Malawi ,aidha kocha wa timu hiyo kim poulsen amesema kuwa timu yake itacheza mechi ya kirafiki kabla ya kucheza na Morocco’s June 8 katika maechi ya marejeoano kuwania kufuzu fainali za komb la dunia zitakazofanyika nchini brazil mwaka 2014 .
K-SPORT.COM ilimtafuta katibu mkuu wa tff angetile osiah kwa simu lakini akutaka kuweka wazi kwa sababu ya za kiofisi
No comments:
Post a Comment