HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

3 July 2013

UWANJA WA TAIFA WAKABIDHIWA KWA SERIKALI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkBIP_aza0DhjfDggdzmgdKlUJos5lVlKgjShe_Zx5tgtU3OUieOjAFupACRQBNRWBoO7c8EaUsdcXtf-x-JhwMmEaLy1nkHL1kj7RgDVQlSURdPhC3ATGOsZN4FWIs-lWsm9oJSOwBc2N/s768/PIX01.jpg
 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (Kulia) akishuhudia Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu Youging akiweka sahihi katika hati ya makabidhiano ya Uwanja wa Taifa.Hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwIxaO38MTZ1J5xYxL9pE2dHmgAEsTGvKFh02fS26700tFJhxZmYBv5ojddR6CleyW_4Et2ov9RYgFJWOBtsZFzUjr2AibZd-XB7gN1ZITdtXXQ8HKbLXbBLH5ZeoaL2lrkJoP3ETAjJmR/s608/PIX02.jpg


Kaimu katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Sihaba Nkinga(Kushoto) akitia sahihi katika hati ya makabidhiano ya uwanja wa Taifa,kulia ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Habib Mkwizu.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhK8TVG-rG9PQyI9zNcKjRMaYFVWwZxah-v6NeTb-jR6-2I2pwlG1tLsbFtI1sapAbyrPThCAb6RPNynumn4YmaXFNIpaRK6HYHvXag5lvr-ISUMg3A_AuseA7PXSKptiB5USGPaxgLhS47/s635/PIX03.jpg


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (Katikati) akishuhudia Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu Youging akibadilishana hati ya makabidhiano ya Uwanja wa Taifa na Kaimu katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Sihaba Nkinga (Kulia).
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiuGv0qrakL0iiflDGVElBh1vkha3drMG9gRxjbQo2QsEG7K0rqa14VQRzr1i6pJuUfN73eDnDsfLG67fqZYTnTR1BnU9GlErvTINvIOn7Y3xf5cEDAOKW0R4iRk6gfKfHIzma5OxoRKkuO/s768/PIX7.jpg


Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Utumishi Habib Mkwizu (Kushoto) akifafanua jambo kwa baadhi ya viongozi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo mara baada ya sherehe ya makabidhiano ya Uwanja kukamalizika.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeZarAWbgY4fQrLwxGpbcZ7ynMR1iEKgMNpe5YcoNcx5QXbogpLQnJRkt8fNAM-K8NC5B2NfMd5yel6cc0t2oGYzwchRjg94TnYdKmtzKXPlQbKXF3QGxtiyehO_uOKZlXU1_f8_MoHcIB/s768/PIXO4.jpg


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangaraka (kulia) akipokea Ufunguo wa mfano kutoka kwa Balazo wa China hapa nchini Balozi Lu Youging kuashiria kukabidhiwa rasmi kwa Uwanja wa Taifa.PICHA ZOTE NA FRANK SHIJA - MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers