HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

9 May 2014

FERDINAND "MAN U ITAJUTA MSMI UJAO "

as_vidic

Rio Ferdinand Anaamini kuwa  Manchester United itajuta kumuachia Nemanja Vidic kuhama wakati huu wa kiangazi .
Nahodha huyo atatiasaini  Inter Milan Mwezi ujao.
Ferdinand Anasema : "Ni muda ndio utatueleza kuwa tulifanya makosa kwa Manchester United


"Kawaida tu Jaap Stam amecheza kwa miaka michahce na na katika kiwango cha juu kabla hajaondoka  Man United na kitu kama hicho kinaweza kutokea kwa Nemanja. Na itakuwa ni ujinga kumuacha Aondoke ."

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers