HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

20 May 2014

KUELEKEA KOMBE LA DUNIA "ETO'O AFRICA ITASEMA BRAZIL "

 
Nini matarajio ya africa katika Kombe la Dunia ?
Timu za Africa Zitafanya Vizuri  Brazil. Na kuna sababu za kusema haya kwani Tunaubora unaostahili . Katika michuano mikubwa ya Ulaya Kuna mchezaji Mmoja kutoka Africa katika ligi za ulaya , Na wachezaji hao wanacheza kwa kiwango kikubwa . Tatizo kubwa Africa ni kuwa Viongozi hawatuheshimu .Ni mpaka Tuheshimiwe  ,Na hatuwezi kuheshimika na watu wengine kama hatueshimiki afrika  .Mimi ndio Nasema , Na ninasema kuwa Africa itasema  Brazil.

Je unaionaje  Ivory Coast, Inaiwakilisha africa kama Timu bora katika Bara ?

Kila Mmoja ana maoni kuhusu  Côte d’Ivoire Ni mmoja kwenye Makaratasi .Ukitazam katika hilo hauwezi kuona kuona usawa katika timu za Africa , Ninachosema kuwa Tembo wa afrika watatakiwa kuonyesha kile ambacho waafrika wanatarajia kutoka kwao. Ni wakati wa wao kuonyesha kuwa wanatakiwa kufanya Kweli katika michuiano hiyo. Watatakiwa kuonyesha kweli wanataka kushinda . Na nina aamini kuwa kizazi hiki kitatakiwa kuonyesha kile ambacho waafrika wanataka .

Ukiwa Nahodha na kupangwa Kundi na  Brazil, Huoni kama ni balaa limekuja kwenu ?
Tunamuheshimu kila Mtu na kila Adui yetu tunameshimu na hatudharau mtu  Na timu zote zilizo kundini Tunaziheshimu  . Ni kweli  Brazil tunajua kuwa wapo kwao Brazil itakuwa na Nguvu kubwa kwani wapo kwao na wanamashabiki wao, Hatutawahofii . Katika maisha yangu tumecheza nao mara kadhaa . Tuliwafunga Brazil  2000 katika mashindano ya Kule Sydney. na kulikuwa na  Ronaldinho katika timu yao na wengi wengineo. Eto’o Haogopi . Cameroon Haiogopi .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers