HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 May 2014

Teddy Sheringham APEWA KAZI YA KUIFUNZA WEST HAM

  

Mshambuliaji wa Zamani wa  West Ham  Teddy Sheringham amejiunga Tena kuifunza kama kocha katika Ligi ya Premier .

Sheringham, ambaye ametumia miaka mitatu  Upton Park kati ya mwaka  2004-07,na atakuwa pamoja na  Sam Allardyce's ili kuongeza ubora katika klabu. 

Washika Nyundo wamefunga magoli Alobaini msimu uliopita na walimsainisha Muargentina  Mario Zarate siku ya jumatano walizungumza matatizo hayo . 

Sheringham, 48, Amesema : "Nina furahia kurejeana tena katika klabui hii."

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers