30 June 2014

Paul Pogba AIKERA ASILI YAKE AILIZA NIGERIA .

Paul Pogba celebrates scoring 




Ufaransa imeungana na timu nyingine katika hatua Robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Nigeria magoli mawili  katika kipindi cha pili na  Joseph Yobo's alijifunga mwenyewe alipokuwa akitaka kuokoa mpira yeye na kipa wake baada ya kupigwa Kona na Benzema.
 kwa hiyo   Nigeria inasukumwa nje kutoka jiji la  Brasilia na Kurejea kwao Lagos .
Lakini Nigeria' walipata goli lilofungwa na  Emmanuel Emenike katika kipindi cha kwanza lakini lilikataliwa kwakuwa mfungaji alikwisha hotea  lakini Baadae Vincent Enyeama aliokoa mpira uliopigwa na  Pogba.

Victor Moses aliokoa  mpira uliopigwa na  Karim Benzema' katikati ya Mstari baadaye   Yohan Cabaye Kuunganisha wa mpira krosi uliogonga Mwamba . 

  Ufaransa itapambana na mshindi kati ya  Algeria na Germany katika Robo fainali  .

No comments:

Post a Comment