30 June 2014

UGIRIKI YASHINDWA KUPIGA PENATI ,COSTA RICA YAIFUATA HOLAND SIKIZA (PENATI)






Costa Rica sasa itapambana na Netherlands katika Robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuwaondoa Ugiriki kwa Mikwaju ya Penati  . 


Mechi ilikwisha katika Dakika mia moja na Ishirini kwa timu hizo kutoshana Nguvu ya Goli moja moja baada  Sokratis Papastathopoulos's kusawazisha Goli katika Dakika ya za Majeruhi na kuisawazishia Ugiriki . 


Bryan Ruiz Ndiye aliyepatia  Costa Rica  Goli la kuongoza hiyo ilikuwa Kabla ya mchezaji mwenzake  Oscar Duarte kulimwa kadi ya Pili ya Manjano na kutolewa Nje kwa Kadi Nyekundu  .

Dakia thelathini za Nyongeza zilishinwa kutoa Mshindi na katika mapigo ya Penati Theofanis Gekas alikosa , na Kuumpa nafasi  Michael Umana kuipatia Costa Rica ushindi sasa watapambana na Uholanzi katika hatua ya Robo fainali.

No comments:

Post a Comment