DUNIA YA MICHEZO

MICHEZO BILA ELIMU =0

HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 August 2014

LIGI KUU YA UINGEREZA INAPOTOA MATOKEO YA KUSHANGAZA

Diego Costa (centre) celebrates his opening goal


Diego Costa amefunga magoli mawili huku  Chelsea ikipata ushindi wa Kushangaza katika Dimba la   Everton Wakiilinda Takwimu yao ya Asimilimia 100% ya ushindi katika msimu mpya  Ligi kuu ya Uingereza .

Everton walijitahidi kurejesha magoli yao kutoka goli mbili nyuma lakini jitihada zao hazikuweza kufua dafu sana mara baada ya kujikuta katika Dakika kumi za Mwisho wakiruhu mabao matatu.
Kevin Mirallas heads in for Everton

Lakini Jose Mourinho's aliweza kuhimili mikimiki ya mechi hiyo nakuondoka na alama tatu muhimu huku wakionyesha uwezo tofauti na ule wa mwaka jana baada ya kufungwa  1-0 msimu uliopita katika Dimba la  Goodison Park muda kama huu mwaka jana .

Tangia hapo , Magoli yalikuwa yakiingia kwa upande wa  Chelsea baada ya wapinzani kuzidiwa katika sehemu ya katikati ,Kitu ambacho hakuna ambaye angeweza kuwalaumu katika muda huu wa msimu .
Samuel Eto'o scores for Everton

Hata baada ya kumuondoa mchezaji aliyeigharimu  £50m  Fernando Torres wiki hii , Waliweza kuonyesha namna gani walivyoweza kusajiri msimu huu na kuonyesha mabadiliko makubwa -Hasa pale safu ya Ulinzi ya Everton ilivyoonyesha Udhaifu Mkubwa katika kuzuia mashambulizi  .
 Branislav Ivanovic celebrates scoring Chelsea's second
Costa alihihakikishia ushindi timu yake huku akinonyesha kuwa kiwango kilichotumika kumnunulia kilikuwa sahihi £32m akitokea  Atletico Madrid baada ya kufunga goli katika Sekunde ya 35 , akikimbia kwa kasi huku akiisubiri pasi kutoka mchezaji mwenzake mpya , Cesc Fabregas.

 

MATOKEO MAKUBWA KUTOKEA EPL


: Portsmouth 7-4 Reading (2007), Tottenham 6-4 Reading (2007), Tottenham 9-1 Wigan Athletic (2009), Manchester United 8-2 Arsenal (2011), Arsenal 7-3 Newcastle (2012) and West Brom 5-5 Manchester United (2013). There have been 12 other Premier League matches containing nine goals.


at 8/30/2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers

DAVID KAMBONA

DAVID KAMBONA
+255713153348

KAMBONA &GILBRTO WA BRAZL. /7/6/10

KAMBONA NA NADIR HAROUB( CANAVARO)

KAMBONA &KAREMBEU

BADO


HABARI MUHIMU

  • Stoke 0 - 0 Arsenal Full time -Now Liverpool v Man City 16:00
                                                                               Stoke 0 - 0 Arsenal FT Liverpool v...
  • THE ORIGINAL HISTORY OF OSCAR SALATHIEL KENETH KAMBONA 1925 -1997
    Oscar Selathiel Kambona was born on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Mbinga, Son...
  • ZAKIA MRISHO ALIVYOSHINDWA RIADHA LONDON OLIMPICK
    Haina haja ya kuongeza maneno tazama mwenyewe.
  • MBONA IMEKUWA NONGWA KUHAMIA KARUME(MALINZI SIKIZA SAUTI)
    Raisi wa shiriksiho als oka nchini TFF Jamal Malinzi amesema suala la kurejesha ofisi za shiriksiho hilo maeneo ya Karume jijini D...
  • TATIZO LA SOKA LA TANZANIA HATUHESHIMIANI ADOLF RISHAARD (SIKIZA SAUTI)
    Katika kuitazama kiundani soka ya Tanzania nimemtafuta mchezaji wa zamani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania Adolf Mohamed Rishaard na ...

MITANDAO MINGINE

  • Arsenal FC News Feed
    Daniel Oyetunde joins St Albans City on loan - Daniel Oyetunde has joined Isthmian League Premier Division side St Albans City
    2 hours ago
  • BBC Sport - Football
    'The FA Cup is at it again!' - First-round shocks - From the Class of 92's Salford City stunner, to Warrington Town punching 100 places above their weight, relive some of the biggest upsets from the first-ro...
    1 hour ago
  • BBCSwahili.com | Habari | Swahili News index
    Hussein Mwinyi: Mfahamu zaidi rais mteule wa Zanzibar - Mwinyi, alijitosa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huu wa 2025 akibeba bendera ya CCM kwa mara ya pili mfululizo.
    2 hours ago
  • Bleacher Report - World Football
    B/R Staff Predictions for the 2025 UEFA Champions League Playoff Round Bracket - This year's knockout stage of the UEFA Champions League begins with a unique and exciting playoff round. For teams such as Real Madrid and Manchester City,…
    8 months ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    6 years ago
  • CaughtOffside
    “Complete player” – Man United urged to sign Premier League star who fits their “DNA” - Former Manchester United winger Nani has called on his old club to seal a transfer move for Tottenham midfielder Joao Palhinha. The Portugal internationa...
    1 hour ago
  • CNN.com
    Abortion and guns in 2024 spotlight -
    2 years ago
  • Confederation of African Football - News
    -
  • FIFA.com - Latest News
    Guyana reap rich rewards for investment -
    5 years ago
  • Football & Soccer News, Scores & Results - Tribal Football
    -
  • Football - Fixtures, results, news, match reports, comment
    Tesco forcing suppliers to go through price rises ‘line by line’ -
    2 years ago
  • Football - StarAfrica.com
    Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat - Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les termes de...
    6 years ago
  • Football Games, Results, Scores, Transfers, News | Sky Sports
    -
  • Football | Mail Online
    Sheffield Wednesday administration latest: 'Three parties provide proof of £50m funds needed to take over' struggling Championship club - There could be some light at the end of the tunnel for Sheffield Wednesday, with reports that administrators have been given proof of funds from three part...
    23 minutes ago
  • Frontpage // marca.com
    Real Madrid sunk by Submarine - Leer
    9 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    Polisi Watahadharisha Umma: Wapo Wanaotengeneza Taarifa za Uongo Kuhusu Usalama wa Uchaguzi - *Na Mwandishi Wetu* *Jeshi la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu kuwepo kwa kikundi cha watu wanaodaiwa kuandaa na kusambaza taarifa, pi...
    3 days ago
  • HOME
    MSUVA AFIKISHA MAGOLI 50 YANGA SC - Ilikuwa dakika ya 68 akitokea wing ya kulia baada ya kuwahadaa vyema walinzi wa Mtibwa Sugar na kuiandikia Yanga SC goli la pili na goli la 50 katika ...
    9 years ago
  • Italian football news | Football Italia
    -
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    11 years ago
  • Latest Football news, Blogs & Forums | FourFourTwo
    -
  • Latest Sport news, results and comment | Sport | The Independent
    -
  • LENZI YA MICHEZO
    TWIGA STARS YAFUZU WAFCON 2026 SASA YAKODOLEA MABILIONI YA CAF - Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake, 'Twiga Stars', imefuzu fainali za Kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) 2026, kwa jumla wa mabao 3-0 dh...
    2 days ago
  • ManUtd.com News RSS
    Skinner: Touch wood, we've come through - Marc Skinner answers that question and has detailed updates on Jess Park and Simi Awujo.
    1 hour ago
  • MICHUZI BLOG
    Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) M...
    2 days ago
  • mirror - Football
    Forgotten Premier League ace set for transfer talks as £27.5m star edges closer to exit - The Portuguese star could be on the move with a host of clubs in the Premier League and across Europe said to be interested
    2 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    1 year ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
    2 days ago
  • ROCKERSPORTS
    Hatma ya Morocco kuandaa AFCON kujulikiana Nov 11 - *Shirikisho la soka barani Afrika limesema linatambua juu ya mlipuko wa ugonjwa Ebola barani Afrika licha ya kugomea ombi la kuahirishwa kwa fainali za ma...
    10 years ago
  • SUFIANIMAFOTO
    TUWAPE FARAJA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE USONJI, TUSIWATENGE -JACKLINE MJEMA - *Mwandishi na Mtunzi wa Vitabu, Jackline Christopher akionesha kitabu chake cha All the Colors I See baada ya kukizindua mapema wiki hii ambapo kinazung...
    5 months ago
  • Super Mario Blog
    Barcelona washtukia mchezo mchafu wa Real Madrid - *RAIS wa Barcelona Josep Maria Bartomeu* amefichua kuwa mahasimu wao Real Madrid wamehusika na mchezo wa uhamisho wa Neymar kiasi cha kutakiwa kuwasilish...
    10 years ago
  • TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania
    Mwaka mmoja wa Amorim katika Manchester United - Kuzaliwa upya kwa tumaini katika safari ndefu na ngumu Manchester United wameazimia kuepuka kurudia makosa ya miaka 10 iliyopita ya […]
    18 hours ago
  • ZanziNews
    Matukio ya Picha Zoezi la Upigaji wa Kura za Urais wa Zanzibar,Urais wa Tanzania,Uwakilishi, Ubunge na Udiwani Zanzibar -
    1 day ago

MATOKEO

MUDA

World time

VICHWA VYA HABARI

K-SPORT.COM/UK

VIWANGO VYA UBORA FIFA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA
lisungu_chisara@yahoo.com

IDADI YA MLIOTEMBELEA

blog counter
blog counter

Feedjit

Lisungu David kambona .http://duniayamichezo.blogspot.com/. Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.