DUNIA YA MICHEZO

MICHEZO BILA ELIMU =0

HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 August 2014

LIGI KUU YA UINGEREZA INAPOTOA MATOKEO YA KUSHANGAZA

Diego Costa (centre) celebrates his opening goal


Diego Costa amefunga magoli mawili huku  Chelsea ikipata ushindi wa Kushangaza katika Dimba la   Everton Wakiilinda Takwimu yao ya Asimilimia 100% ya ushindi katika msimu mpya  Ligi kuu ya Uingereza .

Everton walijitahidi kurejesha magoli yao kutoka goli mbili nyuma lakini jitihada zao hazikuweza kufua dafu sana mara baada ya kujikuta katika Dakika kumi za Mwisho wakiruhu mabao matatu.
Kevin Mirallas heads in for Everton

Lakini Jose Mourinho's aliweza kuhimili mikimiki ya mechi hiyo nakuondoka na alama tatu muhimu huku wakionyesha uwezo tofauti na ule wa mwaka jana baada ya kufungwa  1-0 msimu uliopita katika Dimba la  Goodison Park muda kama huu mwaka jana .

Tangia hapo , Magoli yalikuwa yakiingia kwa upande wa  Chelsea baada ya wapinzani kuzidiwa katika sehemu ya katikati ,Kitu ambacho hakuna ambaye angeweza kuwalaumu katika muda huu wa msimu .
Samuel Eto'o scores for Everton

Hata baada ya kumuondoa mchezaji aliyeigharimu  £50m  Fernando Torres wiki hii , Waliweza kuonyesha namna gani walivyoweza kusajiri msimu huu na kuonyesha mabadiliko makubwa -Hasa pale safu ya Ulinzi ya Everton ilivyoonyesha Udhaifu Mkubwa katika kuzuia mashambulizi  .
 Branislav Ivanovic celebrates scoring Chelsea's second
Costa alihihakikishia ushindi timu yake huku akinonyesha kuwa kiwango kilichotumika kumnunulia kilikuwa sahihi £32m akitokea  Atletico Madrid baada ya kufunga goli katika Sekunde ya 35 , akikimbia kwa kasi huku akiisubiri pasi kutoka mchezaji mwenzake mpya , Cesc Fabregas.

 

MATOKEO MAKUBWA KUTOKEA EPL


: Portsmouth 7-4 Reading (2007), Tottenham 6-4 Reading (2007), Tottenham 9-1 Wigan Athletic (2009), Manchester United 8-2 Arsenal (2011), Arsenal 7-3 Newcastle (2012) and West Brom 5-5 Manchester United (2013). There have been 12 other Premier League matches containing nine goals.


at 8/30/2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers

DAVID KAMBONA

DAVID KAMBONA
+255713153348

KAMBONA &GILBRTO WA BRAZL. /7/6/10

KAMBONA NA NADIR HAROUB( CANAVARO)

KAMBONA &KAREMBEU

BADO


HABARI MUHIMU

  • THE ORIGINAL HISTORY OF OSCAR SALATHIEL KENETH KAMBONA 1925 -1997
    Oscar Selathiel Kambona was born on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Mbinga, Son...
  • mMUUNGANO KATIKA SHAMBA LA BIBI
    Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mpaka akiwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mh. Kificho, Spika wa Bunge la Jamhuri Mh. Samwel Sita na Mama S...
  • South Africa set Jamaica friendly
    (AFP) Monday 26 April 2010 carlos albeto pareira south africa headcoach directing something to the player Hosts South Africa will play ...
  • France to host UEFA EURO 2016
    var newsTitleString = "France to host UEFA EURO 2016"; France were today named by UEFA as the hosts of the 2016 UEFA European ...
  • MKOA WA MBEYA,CCM,SERIKALI NA TFF KWA MBALI SANA JE SAINTFIET ANGEYAONA HAYA INGEKUWAJE UWANJA HUU HAUKIDHI VIWANGO HATA VYA MRAF MBAYA ZAIDI UMEBEBA JINA LA CHAMA CHA MAPINDUZI
    Sura ya nje ya uwanja ya kumbukumbu ya  CCM  sokoine jijini Mbeya ambao ni uwanja wa nyumbani wa Timu ya Prison inayoshiriki ligi kuu uk...

MITANDAO MINGINE

  • Arsenal FC News Feed
    Loan watch: Kiwior maintains superb winning run - The latest on our Gunners out on loan during 2025/26
    3 hours ago
  • BBC Sport - Football
    How Rogers and Villa exposed Man Utd defence - Match of the Day pundit Dion Dublin analyses what went wrong for Manchester United against Aston Villa, and Wayne Rooney discusses the World Cup potential ...
    11 hours ago
  • BBCSwahili.com | Habari | Swahili News index
    Watu maarufu duniani waliofariki 2025 - Wakati tukielekea mwisho wa mwaka 2025, tudurusu vifo vya watu mashuhuru katika mwaka huu, ambao walikuwa maarufu katika kazi zao, kuanzia dini hadi michezo.
    1 hour ago
  • Bleacher Report - World Football
    B/R Staff Predictions for the 2025 UEFA Champions League Playoff Round Bracket - This year's knockout stage of the UEFA Champions League begins with a unique and exciting playoff round. For teams such as Real Madrid and Manchester City,…
    10 months ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    6 years ago
  • CaughtOffside
    Fabrizio Romano confirms Man United star is in advanced talks over January exit - AS Roma are stepping up their efforts to sign Joshua Zirkzee, with the Serie A side advancing in talks over personal terms as they look to make the Manch...
    2 hours ago
  • CNN.com
    Abortion and guns in 2024 spotlight -
    2 years ago
  • Confederation of African Football - News
    -
  • FIFA.com - Latest News
    Guyana reap rich rewards for investment -
    5 years ago
  • Football & Soccer News, Scores & Results - Tribal Football
    -
  • Football - Fixtures, results, news, match reports, comment
    Tesco forcing suppliers to go through price rises ‘line by line’ -
    2 years ago
  • Football - StarAfrica.com
    Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat - Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les termes de...
    6 years ago
  • Football Games, Results, Scores, Transfers, News | Sky Sports
    -
  • Football | Mail Online
    Watch sensational overhead kick as hosts Morocco secure nervy victory to open AFCON - The 32-year-old scored an early Goal of the Tournament contender 16 minutes from time, to put the shine on a 2-0 win in front of Crown Prince Moulay Hassan...
    1 hour ago
  • Frontpage // marca.com
    Real Madrid sunk by Submarine - Leer
    10 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    Vodacom Tanzania Yaendelea Kugawa makapu Ya Zawadi Kwa Wateja Wao - *Meneja wa Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania kanda ya Dar es Salaam na Pwani George Nyanda (wa Kwanza kushoto), Meneja wa eneo la Kinondoni Yusuph Mngag...
    1 day ago
  • HOME
    MSUVA AFIKISHA MAGOLI 50 YANGA SC - Ilikuwa dakika ya 68 akitokea wing ya kulia baada ya kuwahadaa vyema walinzi wa Mtibwa Sugar na kuiandikia Yanga SC goli la pili na goli la 50 katika ...
    9 years ago
  • Italian football news | Football Italia
    -
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    11 years ago
  • Latest Football news, Blogs & Forums | FourFourTwo
    -
  • Latest Sport news, results and comment | Sport | The Independent
    -
  • LENZI YA MICHEZO
    Watanzania Tubaini Ajenda za Wahuni wa Ughaibuni; Amani Yetu Ndiyo Ngao ya Maendeleo - Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea na jitihada za kuzima cheche za vita katika Ukanda wa Maziwa Makuu, Watanzania wametaki...
    1 hour ago
  • ManUtd.com News RSS
    Dalot: This is the opportunity - Diogo believes there is a silver lining to current injury issues for some of the United squad.
    14 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    TANZANIA, INDIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUENDELEZA TIBA ASILI, WHO YAPONGEZA - Na WAF – New Delhi Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) juu ya ushirikiano kwenye Sekta ya Afya ili kuendeleza tiba asilia ...
    2 hours ago
  • mirror - Football
    Wayne Rooney doubles down on Viktor Gyokeres stance after Arsenal criticism - Viktor Gyokeres scored his seventh goal of the season as Arsenal beat Everton on Saturday, but the £64million summer signing's performances have drawn crit...
    28 minutes ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA - Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
    1 hour ago
  • ROCKERSPORTS
    Hatma ya Morocco kuandaa AFCON kujulikiana Nov 11 - *Shirikisho la soka barani Afrika limesema linatambua juu ya mlipuko wa ugonjwa Ebola barani Afrika licha ya kugomea ombi la kuahirishwa kwa fainali za ma...
    11 years ago
  • SUFIANIMAFOTO
    TUWAPE FARAJA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE USONJI, TUSIWATENGE -JACKLINE MJEMA - *Mwandishi na Mtunzi wa Vitabu, Jackline Christopher akionesha kitabu chake cha All the Colors I See baada ya kukizindua mapema wiki hii ambapo kinazung...
    7 months ago
  • Super Mario Blog
    Barcelona washtukia mchezo mchafu wa Real Madrid - *RAIS wa Barcelona Josep Maria Bartomeu* amefichua kuwa mahasimu wao Real Madrid wamehusika na mchezo wa uhamisho wa Neymar kiasi cha kutakiwa kuwasilish...
    10 years ago
  • TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania
    Hisia zangu juu ya mfumo wa Arsenal… - Kwa kweli, kwa takribani mechi tano sasa, viwango vya uchezaji wa Arsenal vimekuwa vya kutia wasiwasi, hasa katika ubunifu na […]
    1 day ago
  • ZanziNews
    DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA BANDARI YA UVUVI, KILWA. - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akikagua maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Uvuvi iliyopo Kilwa Mkoani Lindi, Desemba 19, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri...
    2 days ago

MATOKEO

MUDA

World time

VICHWA VYA HABARI

K-SPORT.COM/UK

VIWANGO VYA UBORA FIFA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA
lisungu_chisara@yahoo.com

IDADI YA MLIOTEMBELEA

blog counter
blog counter

Feedjit

Lisungu David kambona .http://duniayamichezo.blogspot.com/. Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.