HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

18 September 2014

BALAA TUPU TIMU ZA UINGEREZA ZATEMBELEA SPANA MKONONI

  • Mchezaji wa Zamani wa man city na sasa   Bayern Munich's Jerome Boateng amefunga goli la ustadi wa Hali ya juu katika Dakika ya mwisho wa Mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya dhidi ya timu yake ya zamani ya   Manchester City na kuinyima walau alama moja .

    Mlinzi huyo wa zamani wa city Boateng alipiga kiki kali iliyoparazwa na kumshinda  Joe Hart baada ya city kushindwa kuokoa mpira wa kona .
    Hart aliokoa michomo kadhaa  kutoka kwa kina Thomas Muller, Mario Gotze na Boateng.
    City's walipata nafasi ya Dhahbu katika Dakika za mwisho wa mchezo pale Sergio Aguero alipomshinda  Dante lakini alipiga mpira uliotoka nje kidogo ya goli .

    Chelsea
    Kwa upande wa Chelsea Cesc Fabregas amefunga goli lake la kwanza katika mashindano ya klabu bingwa barani ulaya lakini halikuweza kumsaidia kocha  Jose Mourinho's kupata ushindi  baada ya Schalke kusawazisha goli hilo .
    Kiungo huyo wa Uispania , 27, aliyejiunga akitokea  Barcelona majira ya kiangazi alifunga goli hilo akipokea mpira kutoka kwa  Eden Hazard's .
    Didier Drogba alipiga shuti ambalo lilitoka nje ya goli na baadae  Klaas-Jan Huntelaar aliipatia goli la kusawazisha timu yake .
  • Bayern Mun 1 - 0 Man City FT
  • Roma 5 - 1 CSKA Moscow FT
  • Ajax 1 - 1 Paris St G FT
  • Barcelona 1 - 0 Apoel Nic FT
  • Chelsea 1 - 1 FC Schalke 04 FT
  • NK Maribor 1 - 1 Sporting FT
  • Ath Bilbao 0 - 0 Shakt Donsk FT
  • FC Porto 6 - 0 BATE Bor FT

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers