HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

21 September 2014

LECEISTER YALIMALIZA SHETANI MCHANA KWEUPE

Esteban CambiassoLeicester City ilipigana kutoka nyuma ya Mabao matatu  3-1 na kujipatia ushinmdi wa bao tano kwa tatu Dhidi ya  Manchester United.
 
United walionekana washashinda mchezo pale Robin van Persie alipofunga goli  kwa kichwa na  Angel Di Maria alipochop mpira na kuifanya manchester united iongoze katika mchezo huo .
Leonardo Ulloa's alifunga goli kwa kichwa kupunguza idadi ya magoli lakini goli la kisigino la  Ander Herrera's liliipa uongozi zaidi  United's . 

Lakini  Leicester's walijikaza na kurejesha magoli hayo kupitia kwa David Nugent aliyefungwa kwa Penati na  Esteban Cambiasso na baadae jamie Vardy na penati ya a Ulloa ikawapatia ushindi Leceister city

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers