HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 September 2014

KUMEKUCHA LIGI YA UINGEREZA MAKOCHA WAANZA KUKALIA VITI VYA MOTO

Pardew out banner 
Mshambuliaji  Graziano Pelle aliifungia mara mbili  Southampton na kuibamiza vibaya kikosi kilichocheza vibaya cha  Newcastle katika Dimba la Mtakatifu  Mary's .

Mtaliano huyo alifunga goli lake la kwanza katika dakika ya sita ya mchezo alipoungansha kwa Kichwa   Krosi ilitokea upande wa Kushoto ikipigwa na Ryan Bertrand's .
Alifunga bao lake la Nne katika msimu huu baada ya maamuzi mabaya ya Mike Williamson katika safu ya Ulinzi ya Newcastle .
Jack Cork alifanya kazi ya ziada baada ya uzembe uliofanywa na Williamson kabla ya Morgan Schneiderlin Kufunga Bao la nne 
Diego Costa 
Diego Costa amefunga magoli matatu katika mechi yake ya Kwanza wakitokea nyuma na kuibamiza Swansea na kuendeleza takwimu yao ya asilimia mia ya ushindi 100% tangu msimu wa ligi kuu uanze . 

Swansea ndio waliokuwa wakwanza kupata goli baada ya John Terry kujifunga akiokoa mpira wa Krosi lakini Costa alisawazisha kabla ya Nusu ya kwanza ya mchezo kumalizika .

Chelsea's iliendelea kuwa bora na   Costa alifunga akipokea pasi kutoka kwa  Cesc Fabregas .
Mshambuliaji huyo wa Uhispania alimtengea mpira  Ramires ambaye alipiga shuti lilompita  Lukasz Fabianski na  Loic Remy akafunga goli lake la kwanza tangu ajiunge na timu hiyo lakini  Jonjo Shelvey's alifunga goli la kufutia machozi  .
Matokeo mengine katika ligi ya uingereza ni kama unavyoyaona hapo chini

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers