HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 September 2014

ARSENAL VS MAN CITY PIGA NIKUPIGE 2-2

 

Goli la kusawazisha katika dakika za mwisho lilofungwa na  Martin Demichelis limeipatia  Manchester City point moja Dhidi ya Arsenal katika mechi iliyochezwa mapema mchana wa leo na iliyokuwa ya kuvutia .


Mabingwa watetezi walipata Goli la kuongoza kupitia kwa  Sergio Aguero's aliyefunga akipokea Krosi kutoka kwa  Jesus Navas's baada tu ya mchezaji mpya wa  Danny Welbeck kugongesha mlingoti katika siku yake ya kwanza ya mechi hii akiwa na jezi za Arsenal. 
Sergio Aguero

Washika Bunduki walipigana na baadae  Jack Wilshere's alifunga goli zuri zaidi akiuganisha Voli kutoka kwa Alexis Sanchez.

Lakini uzembe wa kutomkaba Demichelis aliunganisha mpira wa kona , na city mara mbili waligongesha mwamba kabla ya mpira kumalizika .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers