HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

14 September 2014

MAN U ACHA SHETANI LAZINDUKA LAUA 4 SIFURI

Angel di Maria and Wayne Rooney

  • United imeshindaa mechi ya kwanza ikiwa na Van Gaal reign
  •   Mchezaji wa mkopo Falcao Aanzia kwenye Benchi 
  • Di Maria na  Herrera wamefunga magoli yao kwanza Leo
Manchester United imepata ushindi wa kwanza katika msimu huu na kuifunga timu ya QPR iliyoonekana kuwa dhaifu katika Dimba la Old Trafford. 


Mchezaji aliysajiriwa kwa Bei mbaya zaidi  Angel di Maria alioneka kuwa mchezaji bora zaidi katika mechi hiyo pale alipopiga mpira wa adhabu Ndogo na kwenda mbali kidogo kwenye kona .

Ander Herrera alifunga katika dakika ya 36 na baadae rooney akafunga kablaya kwenda mapumziko .


Juan Mata naye aliipatia United goli la Tatu kabla ya  akipokea pass kutoka kwa Di Maria's Radamel Falcao Aliingia kipindi cha katika dakika ya  67.
Mpaka mpira unakwisha Man u imeibamiza QPR goli nne bila na Di maria amekuwa Man of Match 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers