HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

14 September 2014

Mayweather WBA NA WBC MAIDANA HOI

.Floyd Mayweather versus Marcus Maidana

Floyd Mayweather AMSHINDA Marcos Maidana na kubakiza mikanda yake katika uzito wa  welterweight

Floyd Mayweather anaendelea kuwa Bingwa wa mikanda ya  WBA na WBC welterweight Baada ya kushinda kwa points Dhidi ya  Marcos Maidana huko  Las Vegas.
Ameendeleza ushindi wake wa mara ya tano bila kupoteza Mayweather's ajapigwa katika mapambano  47 .
Katika kucheza kwake ngumi ilikuchukua Sekunde kadhaa katika maisha ya miaka kumi nane na kucheza ngumi  kijana huyu mwenye miaka  37-alipata ushindi kutoka kwa majaji wote watatu
Katika Mzunguko wa nane, Mayweather alimshtaki  Maidana kwa kung'ata malalmiko ambayo Raia huyo wa Argentine aliyakataa .
Tukio hilo lilitokea pale walipokuwa wakipambana  katika kona ya ulingo .

Floyd Mayweather CV 

Alizaliwa: 24 February 1977, Grand Rapids, Michigan
Kama Bondia wa Ridhaa : Ameshinda 84 , Kapigwa mara sita . Ameshinda glove tatu za dhahabu . Medali za Shaba katika michuano ya 1996 ya Olympics
Akiwa Bondia wa Kulipwa : 11 October 1996
Professional record: 47 Kashinda  (26 KOs),Hajapigwa  .

"Tlukiwa tumekumbatiana na Sikuweza kugundua nini kilitokea ," anasema  Mayweather. "Baadae nikaona kaning'ata . Baaada ya mzunguko wa nane vidole vyangu viliumia , sikuweza kutumia mkono wangu wa kushoto .''
Majaji wawili waliamua mzunguko wa  12-kwa kunipa alama  116-111 na mzunguzko wa Tatu nikapata   115-112 na kuwa Bingwa na hii ilikuwa nzuri kwangu tangu nishinde kwa mfumo huo mwezi   May.
Floyd Mayweather
Mayweather alikiri kuwa Maidana alimuuma kwenye kiuno katika mzunguko wa nane

Mayweather ameripoitwa kutwaa kiasi cha Dolla $32m (£19.6m) katika pambanao hilo na katika masiha ya mchezo huio ameingiza kiasi cha  zaidi ya  $100m (£61.5m) katika miaka yake mitano iliyopita .
Maidana, 31, ambae anaoneka kama angerudiana kwa mara ya tatu na  Mayweather, alihitaji kuongeza juhudi zaidi kama angeihitaji ushindi 

Floyd Mayweather versus Marcus Maidana
NGUMIII KWENDA MBELE
Floyd Mayweather versus Marcus Maidana
POOOF 
Floyd Mayweather versus Marcus Maidana
NIMESHINDAAA !!!

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers