HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

7 September 2014

Prince Ali Bin Al-Hussein "FIFA IENDELEE KUTOA NAFASI ZA KUANDAA KOMBE LA DUNIA KAMA KAWAIDA "

Reason: FIFA vice-president Prince Ali Bin Al-Hussein insists it's vital that the World Cup has new hosts 

Makamu wa rais FIFA  Prince Ali Bin Al-Hussein ametoa fursa  ya kuendelea kwa shirikisho hilo Kuzizawadia Nchi nyingine nafasi ya Kuandaa michuano ya Kombe la Dunia  Nchi ambazo hazijawahi kundaa kombe Hilo japokuwa kulikuwa na Utata katika kuizawadia Qatar kuandaa michuano ya mwaka  2022 .

FIFA imeipa Fursa ya kuandaa michuano ya  2018na  2022 kwa Nchi za Urusi na    kama ilivyokuwa kwa  2010 kwa afrika kusini ,lakini kulikuwa na Taarifa zilizosema kulikuwa na vitendo vya Rushwa vilivyomhusisha Mohamed Bin Hammam katika gazeti  Sunday Times ambazo zilimuangusha makamu huyo wa rais wa zamani wa fifa ambapo iliripotiwa  kuwa alitoa rushwa kununua Baadhi ya Wapiga Kura kuipa nafasi  Qatar.

Kwa mujibu wa Mchunguzi wa Kanuni za uchunguzi za FIFA  Michael Garcia aliwasilisha ripoti yake mwezi May na ,huku zikihusisha kuwa mashindano ya kombe la Duania hayatafanyika sehemu nyingine yoyote ile Zaidi ya Qatar  2022 , Prince Ali amesisistiza kuwa ni jambo la kawaida kwa nchi zinazotaka kuandaa kombe hilo kupata uzoefu ktoka kwa Qatar .
Project: Qatar plan to accomodate all the visitors for the World Cup with state of the art facilities Wakati hivi viwanja vianaanza kuchorwa ilikuonesha jinsi vitakavyohudumu 
'Sikuwepo wakati wakipeleka maombi ya kuandaa mashindano hayo sasa siwezi kutoa maoni kuhusu  yaliyotokea  (kwa mwaka  2022). Nadhani kitu cha muhimu ni kuwa tutakuwa tuna makombe mawili ya Dunia tena mazuri zaidi.

'Ni jambo la muhimu kwa kombe hili likaandaliwa kila bara ili litembee Duniani kote ,mimi ni msimamo wangu  kuwa litawezekana  , Sasa inabidi tuwe na matumaini kuwa linaweza kufanyika kwa njia sahihi na kila kitu kinaweza kufanyika kwa ufanisi zaidi ili tufike mafanikio  ,bila kujari yatakuja maamuzi gani  .'

Prince Ali,ambaye pia ni Rais wa Chama cha soka cha  Jordan , alikuwa akizungumzia ujio wa kombe la dunia katika bara lake miaka nane ijayo '  -
Anasema : 'Ni jambo zuri kwa kila mmoja pale kombe la dunia linapoandaliwa katika bara lake . Nikisema hivo , Tunayofuraha kubwa sana kuandaa michuano ya kombe la dunia kwa Umri chini ya 17 kwa wanawake na kombe la dunia la mwaka  2016,Kwani nina furaha sana na kila kitu kitakuwa sawa .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers