HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

8 September 2014

MIMI NI MPENZI WA ARSENAL LAKINI NAFANYA KAZI CHELSEAA "FABREGAS"

Blue shirt, red heart? Cesc Fabregas has admitted that he will always love Arsenal 

Kiungo wa kati wa Uispania   Cesc Fabregas amesema amejikita kikazi katika klabu ya soka  ya Chelsea, lakini ataendelea kuwa mshabiki wa  moyo wake wote wa  Arsenal
Mchezaji wa huyo wa zamani wa washika Bunduki wa London na nahodha wa  zamani wa timu hiyo  anajiskia sawa kufanya kazi akiwa chini ya Kocha mreno  Jose Mourinho,huku  Arsenal ikiamua kutomnunua tena kiungo kutoka Barcelona kurudi kwenye Dimba la  Emirates . 
Fabregas, 27, alijiunga  Arsenal akitokea klabu iliyomlea tangu utotoni  na kuendelezwa kuwa moja kati ya Viungo bora zaidi Duniani  , Kabla hajarudi  Nou Camp mwezi  August 2011.
alishinda taji la Ligi kuu ya Uispania, Kombe la Mfalme  na Kombe la Dunia miaka mitatu iliyopita katika timu ya taifa ya Uispania  , Kabla hajaamua kurudi katika ligi kuu ya uingereza katika klabu ya  Chelsea. 
Katika mahojiano na  Gazeti la Uispania( El Pais),yaani Nchi hii   Fabregas alielezea hisia zake kwa  Arsenal na kuwa haitambadilishia hata kama atashinda kila kitu akiwa na vijana wapya kutoka katika jiji la London  Chelsea. 

"Unadhani sikufikiria jambo hilo [Kuchezea wapinzani wa  Arsenal's ambao ni  Chelsea]. mimi nitakuwa mpenzi wa Gunner katika maisha yangu yote na Najua nitarudi katika mitaa ya  Highbury [kwenye uwanja wa Emirates] na  [itakuwa ] wakati maalum ,lakini kwa sasa nipo kikazi zaidi  ," Fabregas .
"Na kukumbusha kuwa Nilicheza fainali ya klabu bingwa ulaya na klabu yangu zamani nilipokuwa arsenal dhidi ya Barcelona [nikiwa na  Arsenal]na Niliaapa kuwa  ningefanya chochote kushinda mechi ile  – na nimekuwa mshabiki wa  Barcelona Tangu nilipokuwa Mtoto  . 

"Kwa hiyo nitakapocheza Dhidi   Arsenal Nitajua tu kuwa nipo kwenye Timu tofati y [Kwasasa ] Timu , ambayo nitanacheza ndio ndugu zangu na ndio ninao watetea . N anajua kuwa mashabiki wa Arsenal watanielewa,Na sina shaka na Hilo ."
."

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers