HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 September 2014

WENGER AKIRI JERAHA LA Mathieu Debuchy NI KUBWA SANA

Beki wa kulia wa Klabu ya Arsenal Mathieu Debuchy ameumia vibaya na haijajulikana bado  atakaa nje ya kiwanja  kwa muda gani  .

Kocha  Arsene Wenger amesema majeraha ya  Debuchy’s  ‘Hayaonyeshi kupona upesi na kuna hitajika kufanyika uchunguzi wa kina zaidi waweze kugundua atakaa nje kwa muda gani .
Mchezaji hyuo mwenye 29- Debuchy alianguka vibaya na kukanyaga vibaya kifundo chake cha mguu wa kushoto  katika kipindi cha pili cha mchezo kati ya Arsenal na Mna city ambapo mchezo huo uliisha kwa magoli mawili kwa mawili katika mchezo uliochzwa jumamosi Tarehe kumi na tatu 

Arsenal defender Mathieu Debuchy screams in pain after injuring his ankle against Manchester City
Beki wa kulia wa Arsenal akigaragara chini mara baada ya kuumia kifundo cha mguu 

Gunners manager Arsene Wenger has admitted that Mathie Debuchy's injury 'doesn't look good'
Kocha wawashika Bunduki  Arsene Wenger Amekubari kuwa Majeraha ya  Debuchy's hayaonyeshi dalilia Nzuri

Mathieu Debuchy is taken off on a stretcher after suffering a badly sprained ankle at the Emirates

Arsenal Haina walinzi mbadala katika safu yake ya ulinzi ,Kijana mwenye miaka  19- Calum Chambers aliingia kuchukua nafasi ya mfaransa  huyo aliyetolewa kwa machera .

Debuchy alijiunga na  Arsenal katika majira ya kiangazi akichukua nafasi ya Bacary Sagna, ambaye amejiunga na klabu ya Man City, na alicheza vizuri katika mechi na klabu yake ya zamani katika uwanja Emirates.

Martin Demichelis ndiye aliyeokoa city kwa kusawazisha goli na kuipa alama moja  katika dimba la  Emirates .

Manchester City defender Martin Demichelis (right) celebrates after scoring a late equaliser against Arsenal

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers