HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 September 2014

MADRID CHALI YALAMBWA 2 -1 BERNABU

Atletico Madrid
 
Atletico Madrid imepata ushindi na kulipiza kisasi cha kufungwa na Real Madrid  katika ligi ya Mabingwa ulaya baada ya kuwafunga katika uwanja wao wa nyumbani wa Santiago Bernabeu . 

Mabingwa watetezi wa La Liga  Atletico walipata Goli  la kuongoza katika Dimba la Bernabeu wakati  Tiago alipofunga kwa kichwa kwa mpira wa kona  . 

Cristiano Ronaldo,alifunga goli la kusawazisha akitokea kwenye majeruhi  kwa penati , na kuifanya Madrid kusawazisha  .
lakini Atletico, ambao walijitahidi kukabiliana na kelele za mshabiki wa Real , walishinda mechi hiyo kwa goli lililofungwa na  Arda Turan's .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers