HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

25 October 2014

WEST HAM 2-CITY 1

 

Matumaini ya Manchester City's kutetea ubingwa  yanapata mashaka baada ya mkasa mkubwa kutoka kwa klabu ya Diafra Sakho ambaye anafunga goli kattika mechi ya sita na kuisaidia  West Ham kupata ushindi wa mabao mawili kwa moja Dhidi City  .
City, wapo alama tano nyuma ya Viongozi wa ligi Chelsea, Morgan Amalfitano alimpatia pasi   Enner Valencia's ambaye alifunga goli kutoka mita tatu . 

City waligongesha mwamba mara mbili baada ya  Sergio Aguero na  Yaya Toure  kugongesha miamba hiyo Kabla ya  Sakho kuunganisha mpira wa Krosi kutoka kwa Aaron Cresswell's.
David Silva alisawazisha goli moja  baada kupigwa kona


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers