juma kaseja arudi simba akataa kutaja kiasi cha pesa alichosajiriwa mwenyewe asema ni hekima na busara za wa wazee wa simba na jamal malinzi asema ni wakati wa kusuka timu upya awataka washabiki kuungana kuwa kitu kimoja
Chini ni juma kaseja akionyesha jezi yake ambayo nyuma imeandikwa juma kaseja akiwa amerudi kwenye ya msimbazi
kaseja karejea simba lakini vilevile amekataa kutaja ada ya uamisho sasa timu zetu za simba na yanga tunazifahamu Kaseja kuwa mwangalifu kaka simba ni simba
No comments:
Post a Comment