Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Zara Air akizungumzia ujio wa kampuni ya ndege itaanza shughuri zake hivi karibun katika ukumbi wa idara habari maelezo.
Kampuni ya Ndege ya Zara Air inawaletea habari njema watanzania kwani sasa wataweza kusafiri kwa bei poa kutoka sehemu mbalimbali nchini. kampuni hiyo ambayo itaanzan kutoa huduma zake aug 3 mwaka huu inatarajiwa kufanya safari zake katika mikoa ya mwanza kilimanjaro, moroni visiwa vya comoro, na Jburg afrika ya kusini akizungumzia malengo ya kampuni hiyo
Mkurugenzi Misha M .Hango amesema kuwa itachochea utarii pia itatoa nafasi Emergency Endapo itatokea ikibidi hata kupunguza nauli vilevile amesema kuwa Lugha zitakazo tumika katika ndege zitakuwa kuwa ni kiswahili na kiingereza kawani ndio lugha ambazo zinaeleweka kwa abiria kutokana na mzunguko wa safari wanatakazo zifanya vilevile wanaamini kuwa bei zao zitamwezesha mtanzania wa kawaida kupanda ndege hasa kwa wagonjwa.
No comments:
Post a Comment