HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

17 July 2009

NI NGUMI ZA UZITO JUU TANZANIA KUTAFUTA BINGWA WA TZ

Ashraf Seleman 113 KG Awadh Tamim 100 KG
Pambano la kuwania Ubingwa wa tanzania kumpata mwakilishi wa Tanzania atakaye pambana na Chingunga kutoka Zambia pambano hilo litanyika kesho jumamosi katika ukumbi wa DDC Mlimani Park uliopo Mwenge jijini Dar es salaam kalibu na Mlimani City.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers