Najua mtakuwa mmezoea mikufu ya dhahabu kutoka ulaya ambayo madni yanapatikana bongo lakini mkufu wetu madini tunatoa kwenye miti na tunafunga na kamba na ukivaa yanapendeza kweli afrika inawekana yaani nyumbani ni nyumbani tena hamna madhara yeyote yale sio hiyo mnayovaa mbaka mnawashwa na shingo
No comments:
Post a Comment