HILI NDIO ZIWA NYASA
Naam unaonahapo juu hili ndio ziwa nyasa yaaani naamanisha NYASALANDA ziwa lilo barikwa kuwa na samaki wenye mafuta kama, kambale, mbufu, vitui na wengineo wengi samaki ambao huitaji kutumia mafuta hasa ukiwa banika kwenye moto kwa mfano wa nyama choma Hakika ni utajiri uliopo ndani ya Tanzania .
Unaweza kuona milima ilvyopendeza misitu yakuvutia ni mungu tu alivyoipendelea mkoa wa Ruvuma hapa ni mbaba bay kuleakea chiulu hadi kwambe ,Tipwili ,Chiwanda mpaka kwa ,wamatengo
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
No comments:
Post a Comment