HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

1 November 2010

MZIRAY AMPUZIKA RASMI KINONDONI

Hii ni misa ya kumuombea aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania na kocha msaidizi wa `simba super coach mziray misa iliyofanyika katika makaburi ya kinondoni
Rais wa shirikisho la kandanda la tanzania leodegar chila tenga akiuaga mwili wa marehemu super coach mziray sylersaid.
Mkurugenzi wa ufundi wa tff sunday kayuni naye akiuga mwili wa super coach mziray katika mazishi yaliyofanyika leo hii katika makaburi ya kinondoni.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers