KOMBE LA DUNIA LINAKUJA NOVEMBER MWAKA HUU
Kombe la Dunia lina kuja kwa mara ya pili Nchini mara ya kwanza lilipokuja mwaka 2005 Mgeni rasmi alikuwa ni rais wa Jamhuri ya muungano wa tanzania Mh Dk Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na ndipo alipotoa ofa ya kuletwa kwa kocha wa kigeni na kusema yeye atamlipa kocha, je Endapo atakuwa tena mgeni Rasmi Mh JK Je atatoa Ahadi Gani
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
No comments:
Post a Comment