HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

17 September 2009

HII NDIO ADHA WANAYOPATA WASAFIRI PALE MAMBO YANAPOKWENDA NDIVYO SIVYO

Wasafiri wanaotumia usafiri wa shirika la Reli nchini (TRC) wakiwa wamekwama katika stesheni ya mkoa wa Morogoro wakati wakisubiria usafiri wa kwenda mikoa ya bara baada ya treni ya mizigo kuanguka katika Kijiji cha Msua na Kwala mkoani Pwani treni hiyo ilikuwa likitokea Dar es Salaam.Picha na Juma Mtanda

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers