HIVI NDIVYO PRESIDENT JK ALIVYO TIMIZA MIAKA 59
Rais Jakaya Kikwete akipongezwa na wanawe Rashid Kikwete Chodo (aliyemshika mkono),Khalfan Kikwete, ( wapili kushoto) na Lulu Khalfan Kikwete ambaye ni mtoto wa mdogo wake. Aliyekaa pembeni nyuma ya Rais akiangalia ni Mama Salma Kikwete aliyeandaa hafla ya kifamilia ya kumpongeza Rais kwa kutimiza umri wa miaka 59 jana.
lisungu_chisara@yahoo.com
TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA
No comments:
Post a Comment