HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

5 October 2009

PESA SIO USHINDI TUNAZAMA UWEZO


Magwiji wa jiji la Madrid, Real Madrid wameonja chungu ya kufungwa kwa mara ya kwanza katika ligi kuu ya soka huko nchini Hispania msimu huu baada ya kukubalia kisago kama si kichapo cha mabao mawili kwa moja toka kwa Sevilla Fc.

Wakicheza nyumbani tena kwa kujiamini kupita kiasi Sevilla FC walipata mabao yao ya ushindi katika dakika ya 33 na 67 kupitia kwa Jesus Neves pamoja na Renato huku bao la kufutia machozi ya Real Madrid likifungwa na Pepe katika dakika ya 49.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers