HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

5 October 2009

VODACOM PREMIER LEAGUE


Beki wa timu ya Azam Ibrahim Shikanda (kushoto) akichuana na mchezaji wa JKT Ruvu, Damasi Makwaya wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Timu hizo zilifungana bao 1-1.

Mchezaji wa simba musa hasan mgosi alipokuwa akimkaba mchezaji wa moro united katika mfululizo wa ligi kuu soka tanzania bara Vodacom


Simba 2 - 1 Moro United


Wafungaji

Danny Mrwanda dk 23 Yona Ndabila dk 57

Joseph Owini dk 84



Mtibwa 3 - 1 Tanzania Prison

Saidi Rasgudu Ramadhani Katabalala

Soud Abdallah

Hussein Jabu



Toto African 0 - 0 Majimaji



Kagera Suger 0 - 2 Yanga

Mrisho Ngasa dk 17



No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers