HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 November 2010

KENYA AIRWAYS 2010 GOLF SAFARI OPEN NDANI YA DAR

pichani ni Lucie w.k Malu meneja wa kenya airway tanzania na anaye mfuata ni nahodha wa golf gymkahana joseph shango. Kampuni ya kenya airway imejitolea kudhamini michuano ya wazi ya gof itayofanyika tarehe kumi na tatu mwezi november katika viwanja vya gymkhana vivyopo jijini dar es salaam ambapo jumla ya wachezaji mia moja watoka katika kila nchi ambapo kenya ndege hiyo hupita washindi wawili mwanaume na mwanamke watakwenda kenya kushiriki michuano ya kenya open ambapo mchezo wa golf ni moja kati ya michezo itakayo kuwemo katika michezo ya olympic ijayo nchini uingereza.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers