HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

9 November 2010

KASEJA PUNGUZA MAMBO HAYO POULSEN ATAKUMWAGA HAWAUNDUGU HAO

KIPA WA SIMBA JUMA KASEJAAdhabu inayomkabili kipa wa simba JUMA KASEJA ipo palepale baada ya shirikisho la soka nchini TFF kupitia mkurugenzi wa ufundi SUNDAY KAYUNI kusema kuwa karatasi aliyowasomea waandishi ilikuwa imekosewa kuandikwa kuwa KASEJA hakusalimiana na mgeni rasmi, bali KASEJA alipomaliza kumtambulisha mgeni rasmi alikimbilia kwenye benchi kwa kukwepa kusalimiana na wachezaji wa YANGA. picha janejohn 5 blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers