HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

2 November 2010

LIGI YA MABINGWA LEO

michauno ya ligi ya mabingwa barani barani ulaya inaendelea leo katika viwanja mbalimbali lakini shughuri kubwa na watu wengi watakuwa wakielekeza macho yao katika uwanja wa white heart lane ambapo totenham hotrspurs watakuwa wakirejeana na internazionale milan nezazuri mechi ya kwanza inter ilishinda mabao manne kwa matatu mechi inayotarajiwa kuanza saa nne usiku kwa saa za afrika mashariki Jumanne, 2 November 2010 Uefa Champions League Rubin Kazan v Panathinaikos Benfica v Lyon Bursaspor v Man Utd FC Copenhagen v Barcelona Hapoel Tel-Aviv v Schalke 04 Tottenham v Inter Milan Valencia v Rangers Werder Bremen v FC Twente

1 comment:

  1. Oooh, kumbe ni Ulaya, haya siunajua tena wapenzi wa mpira twapenda ulaya, hasa ligi za Uingereza!

    ReplyDelete

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers