Katibu mkuu wa Baraza la vyma vya soka afrika mashariki na kati  Nicholas Musonye Akipokea Kombe ambalo hushindaniwa kutoka kampuni ya  EABL (Uganda ) Ambaye ni mkurugenzi wa masoko  Lemmy Mutahi  katika sherehe iliyofanyika nchini uganda leo hii . kutoka kulia ni Makamu  rais FUFA Livingstone Kyambadde.
Je kwanini Kenya imepokonywa uenyeji wa kombe la chalenge.
SIKIZA HAPA: 
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya tusker ya uganda  Lemmy Mutahi  (katikati ) akikabidhi mfano wa hawala kwa Katibu wa baraza la vyama vya soka afrika mashariki na kati CECAFA Nicholas Musonye.Kulia  makamu wa rais wa  FUFA t Livingstone Kyambadde jijini kampala leo  


No comments:
Post a Comment