HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

14 September 2012

WAMAKONDE WAZIDI KUJIKITA KATIKA MAANDALIZI PAMBANO LA MASUMBWI



Mwanandaaji wa mpambano wa Tamasha la masumbwi Mkoa wa Mtwara, Mahmoud Sinani kushoto akizungumza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya mpambano wa Bondia Mkongwe Rashidi Matumla na Patrick Amote litakalofanyika October 27  katika Ukumbi wa Makonde Beach Resort  kulia ni Rais wa TPBO Yassin Abdallah 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers