HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

6 October 2012

El Clásico INA THAMANI YA ALAMA TATU

Kocha wa Real Madrid  Jose Mourinho amejaribu kuwaambia mashabiki kuwa mchezo wao wa Leo  Maarufu kama El  Clásico Dhidi  Barcelona kuwa una alama tatu tu na sio vinginevyo .

Timu hizo ambazo zimeanza Vibaya msimu huu katika ligi hiyo Maarufu kama La Liga  ambapo Vinara wa ligi hiyo ,
Barça ambao wamekuwa na takwimu ya asilmia mia 100 ambapo tayari wana alama nane juu zaidi ya Bingwa Mtetezi  Real baada ya Mechi sita  

Japokuwa Vijana hao wa  Mourinho's  wameonyesha dalili za kurejea katika hari yao ya kawaida hasa baada ya kuifunga Ajax mabao manne kwa moja katika mwa juma  4-1  katika ligi ya mabingwa ulaya .  na kocha huyo Mreno kukubali kuwa matumaini ya kutwaa ubingwa bado ni madogo sana kama kumfunga mpinzani wake katika kiwanja cha Nou Camp 

"Real Madrid-Barça Hi ni mechi ambayo tunapenda kucheza .hata wao wanapenda kucheza mechi hii  ," Alikiambia kituo kimoja cha runinga cha marekani , beIN Sport TV. " hii ina maana kwamba  El Clásicoo ni kubwa zaidi ya mechi za ligi nyingine . mashabiki na wapenzi wa soka watasimama kwa muda kuitazama mechi hii ambapo   Barcelona Dhidi ya  Real Madrid. Idadi kubwa ya watu inaonyesha kuwa Mechi ya kombe la Spanish Supercopa iltazamwa sehemu nyingi kuliko ligi ya  mabingwa barani ulaya 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers