HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

6 October 2012

Andy Murray ACHEMKA KWA Milos Raonic KATIKA MICHUANO YA WAZI YA JAPAN


Mwingereza Andy Murray amepoteza ushindi  katika michuano ya wazi ya japan katika hatua ya nusu fainali Dhidi  Milos Raonic
  Andy Murray alilingana katika set mbili za mwanzo kabla ya kupoteza set ya tatu  dhidi ya Milos Raonic amabaye  alimshinda akiri bingwa huyo mtetezi katika mchezo wao wa kwanza baada ya kushinda kwa set  6-3 6-7 (5-7) 7-6 (7-4).

  MCanadana,huyo mwenye miaka  23, alifanya kazi kubwa kushinda set ya kwanza baada ya kuwa nyuma kwa  set  4-1ili kuwa mshindi.  
  Raonic sasa atapambana na  Kei Nishikori katika hatua ya fainali baada ya Mjapan kumshinda   Marcos Baghdatis 6-2 6-2. ambaye ni mchezaji bora namba  nane katika viwango vya dunia mjapan  huyo anakuwa Mjapani wa kwanza kucheza fainali ya michuano mikubwa na alitumia dakika 61 kupata ushindi dhidi  ya mpinzani wake.  
   

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers