HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

22 December 2012

HAKUNA MREMBO KAMA JOCELYNE AFRIKA MASHARIKI

Mrembo Joceline Maro ak,iwapungia mkono mashabiki mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la kumsaka mrembo wa Afrika mashariki jana katika ukumbi wa Mlimani City.

Mshindi wa kwanza Jocelyne amepata dola za Kimarekani 30,000 pamoja na gari aina ya Mazda lenye thamani ya dola 15,000 na mkataba wa kufanya kazi na Oganaizesheni ya Miss East Africa wenye thamani ya dola 15,000.

Mshindi wa pili amepata zawadi zenye thamani ya dola 8,000 ikiwa ni pamoja na kitita cha dola 2,000 na mkataba wa kufanya kazi na Oganaizesheni ya Miss East Africa wenye thamani ya dola 6,000.

Mshindi wa tatu amepata zawadi zenye thamani ya dola 5,000 pamoja na fedha taslimu dola 1,500 na mkataba wa kufanya na Oganazesheni ya Miss East Africa wenye thamani ya dola 3,500.

Joceline Maro katikati mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano la mrembo wa Afrika mashariki , kushoto ni mrembo wa kutoka Uganda Ayisha Nagudi aliyeshika nafasi ya pili na kulia ni mrembo kutoka Burundi Ariella Kwizera aliyeshinda nafasi ya tatu.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers