HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

21 December 2012

RAUL: AFUNGIWA MECHI KUMI NA MOJA

Mchezaji wa zamani na  kiungo wa  klabu ya Liverpool na  Chelsea  Raul Meireles amefungiwa mechi kumi na moja baada kutuhumiwa kumtemea mate mwamuzi  .

 Mchezaji huyo wa mwenye miaka 29-anayechezea  Fenerbahce , alitolewa nje kwa kadi Nyekundu siku ya mechi dhidi ya  Galatasaray,
ambayo mechi hiyo walipoteza kwa mabao mawili kwa moja aidha Raul Amekataa tuhuma hizo. 

Japokuwa shirikisho la soka la uturuki limeshutumu mwamuzi huyo  Halis Ozkahya's kwa kukiri na kuidhinisha adhabu hiyo . 

 Meireles amesema : "Nitachukua hatua za kisheria dhidi yake  kuonyesha kuwa nimechukizwa na siku fanya kitendo hicho." pia alikata kuwa alifamnyia ishara za kumdharau mwamuzi huyo ,

"Sijui ishara yoyote  ya kituruki kuwa nilimuonyesha mwamuzi kuwa yeye ni shoga huyu mwamuzi ni kigeugeu na anasikiliza sana kelele za mashabiki  ,"Aliongeza mreno huyo    

 "Tazam mtindo wangu wa Nywele 'Nilichovaa mimi sio mtu wa aina hiyo ishara ya mkono wangu haiku ya maana hiyo au kitendo mnaachokiita cha kishoga  
Mwamuzi huyu anatoa tuhuma za kudharirishana na ni kashfa hii mimi nina mtoto wa miaka nane sasa itakuwaje watooto wakisema kuwa baba yenu kamtemea mate mwamuzi au kamtukana 
 
Meireles alichezea misimu mwili klabu ya za ligi ya uingereza akitokea porto akijiunga na  Liverpool na badae kwenda  Chelsea 2011. 

 Alijiunga  mwezi kenda na Fenerbahce kwa ada ya pauni  £8m . 

 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers