HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

23 February 2013

AL AHLY YATWAA UBINGWA KWA MARA YA TANO




Miamba ya misri   Al Ahly imeifunga   AC Leopards ya  Congo 2-1 na kushinda kikombe cha tano cha  Super Cup katika uwanja wa  Bog El Arab katika jiji la  Alexndria.
magoli yalifungwa na  Ramy Moustafa  na  Mohamed Barakat yalitosha kuipa ushindi timu hiyo  dhidi ya wakongoman ambao walipata goli moja  . 
 
 

 

 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers