Timu ya soka ya wanawake ya vito malaika fc kutoka Newala mkoani mtwara imegwa rasmi leo na katibu mkuu wizara ya habari utamaduni na michezo Florens Turuke kwenda kushiriki michuano ya Helsink Cup timu hiyo ambayo inajumuisha wasicha tupu itashiriki mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza tar 15 july mwaka huko nchini finland vilevile Jumla ya timu 800 zita shiriki kutoka nchini nyingine ishirini.
Lengo kuu la kupereka timu hiyo kwenye michuano hiyo ni kuongeza uwezo wa kimaendeleo kwa wasichana wanaoishi Mtwara na kuongeza uwezo wao hasa katika mambo ya masomo.
Timu hiyo imeondoka na shirika la ndege la Ethiopia airline na ina wachezaji kumi na tano na viongozi wa wawili.
No comments:
Post a Comment