MELI HII YA MV YA MV PEMBA AMBAYO NI MELI YA MIZIGO ILIKUWA IKIUNGUA MOTO LEO KUANZIA MAJIRA YA SAA NNE ASUBUHI FERI JIJINI DAR ES SALAAM ILIPOKUWA KATIKA MATENGENEZO
Wafanya kazi wa gari ya zimamoto wakiwa katika eneo la tukio wakijaribu kuzima moto ambao ulikuwa ukiteketeza MV Pemba ambayo ilikuwa katika matengenezo inasemekana chanzo cha moto huo ni shoti ya umeme ambayo ilitokea wakati mafundi welding wakifanya kazi ya utengenezaji wa meli hiyo.
Huuu ni moto amabo unawaka juu ya meli lakini moto huo ulikuwa ukitokea ndani ya Meli hiyo ya MV Pemba ambayo ni meli ya mizigo
Kama unavyoniona hapa nikiwa karibu na meli hii nikishuhudia moto ambao ulikuwa ukiwaka na kwa kasi ya kubwa zaidi
No comments:
Post a Comment