HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

2 July 2009

Merreikh beat atraco 6-1

Atraco of Rwanda suffered a big defeat by El-Merreikh Hosts El Merreikh earned a big win on the opening day of the Cecafa club championship in Sudan. They beat Atraco of Rwanda 6-1 in their first game of the club tournament for East and Central Africa. In the other game on the first day of competition, Kenyan champions Mathare United beat Kartileh of Djibouti 3-0. Merreikh are using the tournament as preparation for the group stages of the African champions league. Merreikh's coach said he was delighted with the performance, especially as many of his first choice players had been away on international duty. Former Enyimba star striker Stephen Worgu was in the starting line-up but did not get on the score sheet. Instead it was his Nigerian compatriot Endurance Idahor who scored twice. On Wednesday in group B Tanzania's Prisons take on Benadir Telecom of Somalia and guests TP Mazembe of DR Congo play Uganda's KCC. In group C, the Cecafa Club Championship holders, Tusker of Kenya, meet the other Sudanese team Hay-al-Arab and Inter Stars of Burundi play Miembeni from Zanzibar.
“ A window into the traditional performing and cultural arts of southern Tanzania”The exhibition will be also showcasing the work of ADEA (The African Development thoughEconomic and Arts) in Mtwara, from 14 to 16 August 2009 for the second edition of the MakuyaFestival.The aim is to preserve, promote and perpetuate the traditional culture and performing artsof Makonde, Makua and Yao tribes in the region through the MaKuYa Festival. The purpose is also to catch the audience attention through exhibition to understand thehistory and the uses of Masks in dances. Photograph and Traditional clothes will also be exhibited.The exhibition is organized by Alliance Française in partnership with MaKuYa Festival andThe centre for African Development through Economic and the Arts.

sasatel yapania kurahisisha mawasiano Tanzania

Thomas -andre molving mkurugenzi wa uzalishaji wa kampuni hiyo akiwa amesimama mbele ya bangoliliandikwa sasatel akionyesha alama ya dole Gumba kuashiria mambo yameiva.
Kampuni mpya ya mawasiliano ya sasatel imeanza kutoa huduma za mawasiliano kwa gharama nafuu kampuni hiyo ipo chini ya kampuni ya Dovetel ambayo ilisajiriwa hapa nchini mwaka jana vilevile kampuni hiyo inatoa huduma za internet kwa wateja wa manyumbani na ofisini simu za mkononi na mezani na huduma nyinginezo zinazohusiana na mawasiliano kwa kutumia mtandao vilevile imedhamilia kutoa huduma kwa wateja wake kwa gharama nafuu na kutoa huduma bora kwa wateja ilikufanikisha mawasiliano kufanyika kwa ubora na kiwango kinachotakiwa vilevile wateja watakao jiunga kwa mara ya kwanza watapa punguzo nafuu ,kampuni hiyo imejenga minara yake sehemu mbalimbali jijini Dar es salaam, ikwemo kariakoo ,ilala,Changanyikeni,,tangi bovu kigamboni na msasani.

Fc VITO Malaika ya kwea pipa kulekea Finland leo

Katibu mkuu wizara ya habari utamaduni na michezo florens Turuke katika aliyevaa suti akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Vito Fc ya kutoka newala alipokuwa akiwaaga leo hii katika ubalozi wa Finland uliopo jijini Dar es salaam.
Timu ya soka ya wanawake ya vito malaika fc kutoka Newala mkoani mtwara imegwa rasmi leo na katibu mkuu wizara ya habari utamaduni na michezo Florens Turuke kwenda kushiriki michuano ya Helsink Cup timu hiyo ambayo inajumuisha wasicha tupu itashiriki mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza tar 15 july mwaka huko nchini finland vilevile Jumla ya timu 800 zita shiriki kutoka nchini nyingine ishirini. Lengo kuu la kupereka timu hiyo kwenye michuano hiyo ni kuongeza uwezo wa kimaendeleo kwa wasichana wanaoishi Mtwara na kuongeza uwezo wao hasa katika mambo ya masomo. Timu hiyo imeondoka na shirika la ndege la Ethiopia airline na ina wachezaji kumi na tano na viongozi wa wawili.

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers