HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

31 March 2010

HII NI ARUSI TRADE FAIR

Mratibu wa Mradi wa Harusi Trade Fair Sati Gadhvi akizungumza leo jijini Dar es salaam kuelezea maonyesho ya bidhaa za Harusi yanayotarajiwa kufanyika Aprili 9-10/ 2010 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo washiriki zaidi ya 40 wanaojishughulisha na mambo ya kuandaa harusi wanatarajiwa kushiriki, amesema kiingilio katika maonyesho hayo kitakuwa shilingi 2000 kwa mtu mmoja aliyeko kulia katika picha ni meneja masoko na Mauzo wa Harusi Trade Fair Khamis Omar.
KWA MSAADA WA FULLSHANGWE.BLOGSPOT.COM/

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers