HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

20 July 2010

NI TWIGA STARS VS BANYANA BANYANA

Afisa ahabari wa shikilisho la soka tanzania frorian kaijage  akisisitiza jambo katika ofisi za tff zilipo karume jijini dar es salaam
Timu ya soka ya taifa ya wanawake twig itakwaana na timu ya taifa ya wanawake ya afrika kusin i katika kujiandaa na michuano ya mataifa ya afrika kwa upande wa wanawake .Mchezo huo utafanyika tarehe 24 jumamosi huko afrika kusini ambapo timu ya twiga stars inatarajia kusafiri ijumaa tarehe ishirini tatu.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers